Naomba msaada

Naomba msaada

ydon

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2014
Posts
253
Reaction score
197
habari za asubuh wadau,,
hiv tatizo la kuwah kumaliza wakat wa tendo la ndoa na uume kuchelew kusimama again
hadi kufikia dk 10 mpak 15 linaweza kbsolved kwa njia ipi nyepesi na ya kawaida
 
1-Tuliza akili wakati wa majamboz
2-Kuwa na maandalizi ya muda mrefu(romance)
3-Weka mawazo yako kwenye game
4-Jiamini
 
nashukuru sana mkuu
 
Usiwe na njaa, kula ushibe kabla ya tendo. Usifanye ukiwa umechoka. Jiamini, punguza papara, haraka na wasiwasi.
 
Binafsi nimekuwa nikiliskia vijiweni nakwawaganga. Lakini mimi kama ME sijawahai kukumbana natatizo lanamna hiyo ,gear napanga vizuri, napandisha na nashusha vizuri.
 
Mwe mbona watu wengine mnajitafutia magonjwa ili hali si wagonjwa,we una uwezo wa kukimbia mita 100 unataka marathon wakati si uwezo wako,huko kuwahi unawahi dakika ngapi mpaka unakuita kuwahi, hiyo kusimama tena baada ya dakika 10 si tatizo ndo uwezo wako huwezi kuunganisha. Tena wewe uko vizuri wengine mpka lisaa ndo ngoma inasimama tena. Usidanganyike na watu wanaojisifu mabao saba jua kiwango chako cheza smart ndani ya uwezo wako.
 
Maranyingi husabaishwa na kutokuwa na salio la kueleweka kwenye akaunti yako ya benki, madeni kupita kiasi, wasi wasi/woga, umri(45kuendelea), njaa au mwanamke akiwa mchafu, gogo au wakati wa majambozi yeye anakuwa bize na simu au kukuelezea matatizo yake huku kakukodolea macho.
Kama upo vizuri kwa mambo yote hapo juu, itakuwa ni upepo tu, utapita.
 
Mwe mbona watu wengine mnajitafutia magonjwa ili hali si wagonjwa,we una uwezo wa kukimbia mita 100 unataka marathon wakati si uwezo wako,huko kuwahi unawahi dakika ngapi mpaka unakuita kuwahi, hiyo kusimama tena baada ya dakika 10 si tatizo ndo uwezo wako huwezi kuunganisha. Tena wewe uko vizuri wengine mpka lisaa ndo ngoma inasimama tena. Usidanganyike na watu wanaojisifu mabao saba jua kiwango chako cheza smart ndani ya uwezo wako.

Hilo nalo neno, ila kuchelewa kuamka inategemea ushirikiano wa mwanamke mwenyewe, kama mwanamke hakupi ushirikiano huwezi ila akikupa ushirikiano utainjoi na usafi wa mwanamke pia unachangia,
Kama ananuka 🙁 hutamani tena kuendelea
 
Kujiamin Na Mtu Unaeshare Nae Uwe Unampenda. Si Unado Na Mtu Baada Ya Tendo Huwez Kumkumbatia Au Kuchezea Makario Yake. Hyo Utachelewa Kama Huna Hisia Za Ndan Nae
 
Mwe mbona watu wengine mnajitafutia magonjwa ili hali si wagonjwa,we una uwezo wa kukimbia mita 100 unataka marathon wakati si uwezo wako,huko kuwahi unawahi dakika ngapi mpaka unakuita kuwahi, hiyo kusimama tena baada ya dakika 10 si tatizo ndo uwezo wako huwezi kuunganisha. Tena wewe uko vizuri wengine mpka lisaa ndo ngoma inasimama tena. Usidanganyike na watu wanaojisifu mabao saba jua kiwango chako cheza smart ndani ya uwezo wako.
uko vizur, sijui ni she/he??
 
habari za asubuh wadau,,
hiv tatizo la kuwah kumaliza wakat wa tendo la ndoa na uume kuchelew kusimama again
hadi kufikia dk 10 mpak 15 linaweza kbsolved kwa njia ipi nyepesi na ya kawaida

For what benefit anyaway?
 
nashukuru kwa msaada wenu wanajanvi ,,,
 
Back
Top Bottom