Kwanza hongera kwa dvn nzur uliyopata, kiukweli kwa vyuo vya serikali unaweza ukawa na vigezo na usichaguliwe au ukachaguliwa, kwaiyo unapoapply vyuo vya serikalini hasa kwa koz za afya zebye ushindani kama clinical medicine usiweke 100% ya kupata hivyo kuwa dynamic, kwa ushauri wangu kwa alama ulizopata ni nzuri , fanya application mtandaoni lakini pia kwa vyuo vilivyo karibu na ww nenda kawaombe maana huwa baadhi ya wanafunz wanachaguliwa lakini hawariport kwaiyo ile nafasi inakuwa wazi ukiongea nao watajua namna ya kukusaidia ujiunge, lkn Jambo kubwa mtangulize Mungu maana ushindani kwa government ni mkubwa licha ya kuwa vigezo unavyo