Naomba msaada wa tatizo la milio tumboni

Naomba msaada wa tatizo la milio tumboni

Tony Yeyo

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
733
Reaction score
570
Watalamu hii milio ya tumboni uwa ni dalili za nini?

Maana inakuwa kama kuna kitu kinatoa sauti vile
 
Kwanza unakua umekuLa au maana hata ukiwa njaa mda mwngne inatokea


Umetisha dana mjomba sema hujaja
 
itakuwa hewa ya ukaa imejaaa inatafuta expansion joint itokeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom