msela kuntu
Senior Member
- Jun 28, 2019
- 116
- 183
Msaada mwenye kujua shule ya kidato cha tano kati ya mkoa wa Dar, Moro, Dodoma, Tanga au Moshi ambayo ada yake sio zaidi ya 1.6 kwa mwaka
Dah Kuna dem chuoni alkuwa anajikuta wa kishua kisa kasoma mbezi high...nkajua Ada Yao mil7Mbezi high M 1.1 day