nkasime
Member
- Oct 1, 2011
- 36
- 16
Niko kwenye process ya kumfanyia mtu application ili aweze kuomba chuo kikuu kama NACTE walivyoagiza kwa watunwa equivalent,bahati mbaya nimekutana na technical problem,hivyo kwa mwenye mawasiliano na hawa jamaa naomba aweke hapa,maana contacts zao walizotoa naomba ni za mapambo hakuna hata moja inayopokelewa. Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app