newtonfox
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 217
- 93
samahani wana JF kunatatizo moja limejitokeza
nilikua na simu Vodafone 858 smart: OS>android 2.2 floyo ,ilikua na GPS, speed ya net ilikua inasoma hadi HSPDA(4mbps) ,ilikua ina apps nyingi nyingi kwa kifupi nilisahau ya security au any phone tracing apps,Hiyo simu niliibiwa
chumbani kwangu 29 march waliiloa kwenye dirisha pamoja na laptop samsung ya mteja wangu .......
nilikua naomba msaada wa anya advanced IT au mtu yoyte mwenye uwezo wa kutrace cmu yangu labda hata kwa imei etc,taarifa polisi nilishatoa na RB ninayo,bia baadhi ya documentation ninazo so naomba msaada wenu thanks maaa mwenye laptop kanifikisha pabaya
nilikua na simu Vodafone 858 smart: OS>android 2.2 floyo ,ilikua na GPS, speed ya net ilikua inasoma hadi HSPDA(4mbps) ,ilikua ina apps nyingi nyingi kwa kifupi nilisahau ya security au any phone tracing apps,Hiyo simu niliibiwa
chumbani kwangu 29 march waliiloa kwenye dirisha pamoja na laptop samsung ya mteja wangu .......
nilikua naomba msaada wa anya advanced IT au mtu yoyte mwenye uwezo wa kutrace cmu yangu labda hata kwa imei etc,taarifa polisi nilishatoa na RB ninayo,bia baadhi ya documentation ninazo so naomba msaada wenu thanks maaa mwenye laptop kanifikisha pabaya