MUTAKANGWA
Member
- Oct 28, 2013
- 37
- 2
Natumaini wote ni wazima wa afya.
Naomba msaada katika hili. Nataka kununua smartphone hasa inayotumia OS ya android. Bajeti yangu ni 200,000 mpaka 250,000. Ni simu gani naweza kupata yenye uwezo mzuri wa kupiga kazi. Ahsanteni
Naomba msaada katika hili. Nataka kununua smartphone hasa inayotumia OS ya android. Bajeti yangu ni 200,000 mpaka 250,000. Ni simu gani naweza kupata yenye uwezo mzuri wa kupiga kazi. Ahsanteni