Naomba msaada wa kilimo cha Azolla

Ndugu wana Jf hasa jukwaa hili LA ujasiriamali na biashara.nilikuwa nauliza je ?

Je kilimo cha Azolla mbegu zake hupatikana wapi,na ukilima Soko lake likovipi.

Vipi General management yake ikoje?
;Mkuu Nsema mbegu za azolla mara nyingi hupatikana kwenye mashamba ya mpunga na madimbwi pia unaweza kupata kwa mtu ambaye atakuwa amelima zao hili.
Kuhusu soko naona kuna maelezo mazuri sana ya wadau kwenye comments zilizopita.
Pia kuhusu general Management ya Azolla kwa kifupi ni kwamba ukiilima unatakiwa kwanza kuhakikisha maji hayapotei, kuhakikisha mbolea zake zinapatikana pia kuna kuwa na kivuli n.k hii ni ili kusaidia ukuaji mzuri na waharaka zaidi wa Azolla.
 
Ndugu wana Jf hasa jukwaa hili LA ujasiriamali na biashara.nilikuwa nauliza je ?

Je kilimo cha Azolla mbegu zake hupatikana wapi,na ukilima Soko lake likovipi.

Vipi General management yake ikoje?

soma hapa : anzishaproject .com
 
Inaelekea lzm uwe mfugaji kwnz ndo ulime haya magugu maana soko hakunaga!
 
Mkuu hivi naweza tumia hii TSP ya punje?
Maana natafuta huyo azobam siipati
 
Mkuu hebu fafanua zaidi kwenye direct sunlight; Je yanatakiwa kupandwa kwenye bwawa lililo kwenye kivuli tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…