Azona ni aina ya magugu maji ambayo yanaonekana kuwa na kiasi kikubwa cha protein 20-30%. Azolla hutumiwa kulisha wanyama, kuku na Samaki.
Hili ni zao ambalo linaweza kuzalishwa kwa urahisi sana maana linaitaji jua, mbolea na maji pekeake. (Ila sio direct sunlight)
Mbegu ni raisi kupata kwenye madimbwi. Kwa mfano mwanza azolla ipo sana kwenye vitalu vya mchele au madibwi. Ni kiasi cha kukusanya utakayoweka pata na kuweka kwenye eneo unalotaka kupanda na zitamultply kwa hraka sana.
Unaweza kulima azolla kwenye containers au madimbwi. Waweza tumia mbolea ya hydroponic, mbolea za chemicali na za asili.