Naomba Msaada simu yangu note 3 inapata joto

Naomba Msaada simu yangu note 3 inapata joto

nkomelo

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
216
Reaction score
44
Wakubwa naomba msaada wa kujua tatizo la simu yangu imeibua katabia kakuchemka.

Sijui inasababishwa na nini napengine nifanyeje ili kuondoa hali hii.
Asanteni
 
Wakubwa naomba msaada wa kujua tatizo la simu yangu imeibua katabia kakuchemka.
Sijui sababu ni nini napengine nifanyeje ili kuondoa hali hii.
Asanteni

Pole rafiki. Sijui uko wapi, yangu ilikuwa na tatizo hili la kuchemka, kisha kujizima. mafundi wamesaidia sasa ni miezi iko fine.
 
Nipo Mtwara

Lo! uko mbali. Hapa ni unapoweza kupata msaada huu. Tatizo lingelikwisha. mafundi hawezi kukwambia tatizo chanzo chake ni nini atakosa wateja. Lakini hiyo ni genuine/original? kama ni za mchina inaweza kuwa tabu kidogo.
 
Ni original ndg yangu kwa hiyo hili ni tatizo la soft au hardware?
 
Mara nyingi zinachemka iwapo
1.Rf section in leakage 2. Power section Luna components zina leakage,ukiifungua circuit take name kuipa power components ambazo zina leakage utazitambua kwa kugusa na mono kwani zinakuwa za moto sana kwa mud a mfupi.
 
Mara nyingi zinachemka iwapo
1.Rf section in leakage 2. Power section Luna components zina leakage,ukiifungua circuit take name kuipa power components ambazo zina leakage utazitambua kwa kugusa na mono kwani zinakuwa za moto sana kwa mud
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1414524050.406875.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1414524050.406875.jpg
    6.6 KB · Views: 359
Wakubwa naomba msaada wa kujua tatizo la simu yangu imeibua katabia kakuchemka.

Sijui inasababishwa na nini napengine nifanyeje ili kuondoa hali hii.
Asanteni

jaribu kuflash tena kuna custom ROM nzuri znazo fanya simu kuwa vizur na hata kupunguza cmu kuchemka..mimi natumia spirit rom simu imekua yabaridiii hadi raha.
 
Unwezaje kuflash hardware ndio leo nasikia!!

kuchemka kwa si unawezakena ikawa fixed kupitia kuflash rom sometimes ni tatizo la kernel zipo kernel tofauti na uwezo wake mfano zipo kernel ambazo zinasababisha simu kuchemka na kuisha charge haraka compared na zingine
 
Cdhan kama kuflash n tatizo, smartphones n tabia zake sbb muda mwng zko busy, muda wote zko connected na net na znafanya sync, hata kama huitumii, yenyw inakuwa iko as if kwnye net, njia rahc n kuipunguzia mzgo, kama huko net tumia 2G network badala ya 3G, pia unapochaji toa mfuniko na uciweke kwenye godoro, kioo au sponji, weka kwenye ubao na au mahali joto litasambaa kirahc, ikiwezekana chn. Hii itasaidia kui cool down. Toa app zsizo za lazma ambazo hutegemea net mara kwa mara. Pia battery savers nahc huchangia sana kuichemsha cm. Ikiacha kuchemka mara kwa mara betr hufa mapema.
 
Back
Top Bottom