toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Hili tatizo limeanza majuzi tu
Sabufa langu main speaker inanguruma
Kuna saa inatulia haingurumi but baada ya muda linaanza kunguruma?
Je, tatizo ninini?
Mwanzo lilikua likinguruma kwa nadra tu lakin kuna siku nilizidisha volume hadi mwisho likanguruma sana hapo ndo ikazid kunguruma sasa hv ndo imekua changamoto yake...mziki unapga but ule mngurumo wa spika yake kubwa ndo unakera...ukiweka Pause ule mngurumo unaendelea tu.
Wajuzi hili tatizo ninini?
Sabufa langu main speaker inanguruma
Kuna saa inatulia haingurumi but baada ya muda linaanza kunguruma?
Je, tatizo ninini?
Mwanzo lilikua likinguruma kwa nadra tu lakin kuna siku nilizidisha volume hadi mwisho likanguruma sana hapo ndo ikazid kunguruma sasa hv ndo imekua changamoto yake...mziki unapga but ule mngurumo wa spika yake kubwa ndo unakera...ukiweka Pause ule mngurumo unaendelea tu.
Wajuzi hili tatizo ninini?