Mpe pole sana. Hiyo ni sehemu tu ya maisha.
Utaratibu ulikuwa ukidisco, utasubiri miaka miwili ndipo uruhusiwe kuomba kudahiliwa tena katika taasisi ya elimu ya Juu.
Hii ni pale usajili ulipokuwa chini ya TCU.
Kwa sasa sijajua, kwa sababu usajili hufanyikia moja kwa moja chuoni. Cha Msingi, aende akaombe kwa baadhi ya vyuo na kisha muone nini kitafata.