tax compliant
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 1,211
- 1,200
- Thread starter
- #21
Mmmh we endelea kubeti, nangoja barua J5wenzako wana miaka zaidi ya 5 hawana kazi wametulia tu tafuta hata jero uanze kubeti
Mmmh we endelea kubeti, nangoja barua J5wenzako wana miaka zaidi ya 5 hawana kazi wametulia tu tafuta hata jero uanze kubeti
hamna , yule mwenye mbwembwe anaitwa troll jf, na sijui kapotelea wapi, maana sijamuona hapa jukwaani baada ya matokeo traWewe si ulikuwa una kebehi wenzako wanaoulizia majibu ya usaili TRA? Na kujigamba kuwa uko kwenye jopo ndo mnachambua majina? Acha mbwembwe kijana.
Bora umkumbushe mkuu, yule jamaa alipigwa ban.hamna , yule mwenye mbwembwe anaitwa troll jf, na sijui kapotelea wapi, maana sijamuona hapa jukwaani baada ya matokeo tra
Ni kweli hajaonekana sijui ana ban?hamna , yule mwenye mbwembwe anaitwa troll jf, na sijui kapotelea wapi, maana sijamuona hapa jukwaani baada ya matokeo tra
Kabla hujajibu jipe muda kuangalia tarehe ya tangazo.Tulia kijana najua una hofu sana... maliza kwanza chuo, kazi utapata tu
Hapana.Kwa hiyo umepata kazi kwa msaada wa member humu JF ama la.?