Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,432
- 7,092
Habari wakuu,
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kuna binti wa ndugu yangu tunalea. Ana miàka 12 sasa.
shida aliyonayo ni huwa anawashwa sana sehem za siri baadhi ya siku. Kapelekwa hospital kupima Madocta wanasema hana tatizo lolote, si hospitali moja tumekwenda majibu ni yale yale.
Usafi tunajitahidi sana, tunaishia kupewa dawa za kupaka, BP solution na vidonge tu!
Naomba msaada wenu wadau labda naweza kupata walau mwanga tufanyeje!
Hana vipimo vinaonesha hana maradhi ya zinaa na ni mtoto bado.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kuna binti wa ndugu yangu tunalea. Ana miàka 12 sasa.
shida aliyonayo ni huwa anawashwa sana sehem za siri baadhi ya siku. Kapelekwa hospital kupima Madocta wanasema hana tatizo lolote, si hospitali moja tumekwenda majibu ni yale yale.
Usafi tunajitahidi sana, tunaishia kupewa dawa za kupaka, BP solution na vidonge tu!
Naomba msaada wenu wadau labda naweza kupata walau mwanga tufanyeje!
Hana vipimo vinaonesha hana maradhi ya zinaa na ni mtoto bado.
Sent using Jamii Forums mobile app