Anasumbuliwa na tumbo baada ya kujalibu kutoa mimba ya mwezi mmoja kwa kutumia dawa ambazo mbili unameza nyingine unaweka chini ya uke karibu na kizazi. Afanyaje?
namshauri aendelee kusumbuliwa tu maana ameyataka. Nikiskia mtu anataka kutoa mimba najiskia kitapika mi nimekaa na wife miaka miwili natafta mimba nimekuja kufanikiwa two months ago af we unataka tukusaidie kuua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.