Naomba msaada juu ya ku apply TCU

Naomba msaada juu ya ku apply TCU

Air Jordan

New Member
Joined
Oct 5, 2016
Posts
3
Reaction score
0
Habari, naomba msaada kwenye Ku apply kidogo, Mimi nlianza kuomba tangu awamu ya kwanza Ila sijawahi kupata Wala nafasi kwenye faculty nlizo omba hazijawahi kujaaa mpaka leo pia Nina division 2, sijajua tatizo ni nini, Wala program rejection hawaandiki kitu, nikiwapigia hawapokei, nifanyeje?
 
Habari, naomba msaada kwenye Ku apply kidogo, Mimi nlianza kuomba tangu awamu ya kwanza Ila sijawahi kupata Wala nafasi kwenye faculty nlizo omba hazijawahi kujaaa mpaka leo pia Nina division 2, sijajua tatizo ni nini, Wala program rejection hawaandiki kitu, nikiwapigia hawapokei, nifanyeje?
Pole sana asee
 
Combi
nafanyaje sasa msaada plz

Habari, naomba msaada kwenye Ku apply kidogo, Mimi nlianza kuomba tangu awamu ya kwanza Ila sijawahi kupata Wala nafasi kwenye faculty nlizo omba hazijawahi kujaaa mpaka leo pia Nina division 2, sijajua tatizo ni nini, Wala program rejection hawaandiki kitu, nikiwapigia hawapokei, nifanyeje?
Kombi ghan na coz ghan unaombaa
 
1.Acha kuomba faculty omba degree programme.
2.Omba Ualimu utachahaguliwa .
 
Habari, naomba msaada kwenye Ku apply kidogo, Mimi nlianza kuomba tangu awamu ya kwanza Ila sijawahi kupata Wala nafasi kwenye faculty nlizo omba hazijawahi kujaaa mpaka leo pia Nina division 2, sijajua tatizo ni nini, Wala program rejection hawaandiki kitu, nikiwapigia hawapokei, nifanyeje?
Same to me, but degree programme, co faculty
 
Duh... Ukijaza FACULTY hazijawahi kujaa

Kama upo Dar nenda TCU physically.... Simu hawapokei hata upigeje
 
Back
Top Bottom