anthony kachillah
Member
- Jan 1, 2014
- 5
- 1
bodi ya mikopo ya vyuo vikuu leo imetoa majina wa wanafunzi ambao waliomba mkopo lkn kukawa na makosa yaliyojitokeza wakati wanaomba na hivyo kutoa muda wa siku kadhaa ili kufanya marekebisho.
kwa upande wangu nimekuta wameniambia hakuna guarantor ID , naombeni msaada wenu namna ya kurekebisha hili kosa .
kwa upande wangu nimekuta wameniambia hakuna guarantor ID , naombeni msaada wenu namna ya kurekebisha hili kosa .