right click folder then kwa chini utaona kibox kimeandikwa hide put √ baada ya hapo funga folder yako then rudi kwenye ku start computer type folder option alafu click kwa juu palipoapia neno folder option kitafunguka ki folder kwa juu utaona view click kwenye view then ukishuka utaona hide the files put √ then put ok kwa chini. km hujaelewa fresh nicheki 0653732909
Asante mkuu ngoja niikaribie pc nikishindwa ntakucheck
hiyo option ni nzuri but sio secure sana, kwani mtu aki view hidden files anaweza kuyaona na kuyafungua.
Cha muhimu nakushauri udownload Folder Lock ambayo ni latest. Hiyo unalock files, folders, drives, removables etc. with password. Hapo vitu vyako vitakuwa safe.
Pia zipo settings zitakazo kuwezesha ku i hide hiyo Folder Lock na mtu asijue kama umeinstall. Thats all bro...