Naomba msaada course ipi nzuri?

Naomba msaada course ipi nzuri?

Maua ally

New Member
Joined
Aug 24, 2022
Posts
3
Reaction score
0
Habari samahani,

Najua humu ndani kuna wasomi na watu wenye mawazo mapana.naomba ushauri mtoto wenu,mdogo wenu nmechaguliwa vyuo vitatu tofauti.

Course tofauti moja ni business administration nyingine ni bachelor of science in economics and finance na ya mwisho ni bachelor in accountancy and finance.

Je, ipi course nzuri sababu zote nazitaka sijui niende ipi ambayo italipa hapo baadae.

Naombeni ushauri wenu ndugu zangu
 
Back
Top Bottom