mahatmaxlla
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 956
- 1,554
Msaada ndugu zanguni tafadhali
Habari za mchana,
Naomba moja kwa moja niende kwenye tatizo,nina mdogo wangu kamaliza kidato cha nne mwaka jana 2017,na ufaulu wake ulikuwa hivi
Kiswahili C
Biology C
geography D
english D
civics D
chemistry D
mathematics F
na history F
Physics hajafanya
Je? Anaweza pata chuo kizuri na kozi nzuri
ni kozi gani itamfaa sambamba na ufaulu wake?
Nawasilisha wakuu, naombeni msaada wenu.
Habari za mchana,
Naomba moja kwa moja niende kwenye tatizo,nina mdogo wangu kamaliza kidato cha nne mwaka jana 2017,na ufaulu wake ulikuwa hivi
Kiswahili C
Biology C
geography D
english D
civics D
chemistry D
mathematics F
na history F
Physics hajafanya
Je? Anaweza pata chuo kizuri na kozi nzuri
ni kozi gani itamfaa sambamba na ufaulu wake?
Nawasilisha wakuu, naombeni msaada wenu.