Naomba mpitie hapa wakuu

Naomba mpitie hapa wakuu

mahatmaxlla

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2017
Posts
956
Reaction score
1,554
Msaada ndugu zanguni tafadhali

Habari za mchana,

Naomba moja kwa moja niende kwenye tatizo,nina mdogo wangu kamaliza kidato cha nne mwaka jana 2017,na ufaulu wake ulikuwa hivi

Kiswahili C
Biology C
geography D
english D
civics D
chemistry D
mathematics F
na history F
Physics hajafanya

Je? Anaweza pata chuo kizuri na kozi nzuri

ni kozi gani itamfaa sambamba na ufaulu wake?
Nawasilisha wakuu, naombeni msaada wenu.
 
Back
Top Bottom