Ni kawaida kwa mwanamke kuwa na mzunguko wa hedhi unaobadilika?? kuna wakati siku 26 na miezi mingine 28! na kama ni hivyo je siku zake za kupata mimba ni zipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.