AkiliMingi AM
Member
- Jul 5, 2020
- 88
- 60
Habari wana JF.. Natumaini wote wazima wa afya,
Tangu nijiunge na JF sijawahi kuja kwa heshima namna hii kama nilivo anza na utangulizi apo juu, nipeni kwanza point tatu zangu tafadhali
Ishu ni kwamba kuna demu ameletwa hapa kazini kwetu ameingia mda sii mrefu... mm ndie nilie mpa chumba chake cha kulala sasaivi yupo uko ndani.
Ila kiukweli ni mkalii afuu wa kimbulu, demu ana macho ya kulegea, anakiuono kama cha kuchora ana tako flani amaizing uuuuuwiiii (nimeongea kingereza kidogo apo) nimejikuta nimempenda kinyama yani.
Tatzo mm ni mtu flani ivi siezi piga swaga, nasasa demu wangu kanitema kisa cha kijinga jinga nataka nimpate huyu mtoto wa kimbulu ili nimnyooshe ex wangu aumie kuniona na mtoto mkali kuliko yeye.
Naombeni mbinu za kumpata bila kusumbuka saaaan nataka nimtongoze kesho asubuhi jioni aamie chumbani kwangu plz nisaidieni.
Tangu nijiunge na JF sijawahi kuja kwa heshima namna hii kama nilivo anza na utangulizi apo juu, nipeni kwanza point tatu zangu tafadhali
Ishu ni kwamba kuna demu ameletwa hapa kazini kwetu ameingia mda sii mrefu... mm ndie nilie mpa chumba chake cha kulala sasaivi yupo uko ndani.
Ila kiukweli ni mkalii afuu wa kimbulu, demu ana macho ya kulegea, anakiuono kama cha kuchora ana tako flani amaizing uuuuuwiiii (nimeongea kingereza kidogo apo) nimejikuta nimempenda kinyama yani.
Tatzo mm ni mtu flani ivi siezi piga swaga, nasasa demu wangu kanitema kisa cha kijinga jinga nataka nimpate huyu mtoto wa kimbulu ili nimnyooshe ex wangu aumie kuniona na mtoto mkali kuliko yeye.
Naombeni mbinu za kumpata bila kusumbuka saaaan nataka nimtongoze kesho asubuhi jioni aamie chumbani kwangu plz nisaidieni.