mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,432
- 2,892
Ninayempenda hanipendi.
Okey lakini habari zenu. Maisha bwana... Yaani yule ambaye unpenda Wala Hana time na wewe.
Kwanini nasema hivyo.
1. Kwanza hanitafuti mpaka nimtafute Mimi.
2. Hata akiwa na shida hambii , na nikitamani kumsaidia anasema tu ACHA
3. Hataki nipajue kwao
4. Ukituma mesj anajibu kav kav (bila rutba)
5. Na mengineyo mengi.
NAOMBA MBINU ZA KIJASIRI niweze kumuacha, maana kwake nimekufa nimeoza lakini ananitesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Okey lakini habari zenu. Maisha bwana... Yaani yule ambaye unpenda Wala Hana time na wewe.
Kwanini nasema hivyo.
1. Kwanza hanitafuti mpaka nimtafute Mimi.
2. Hata akiwa na shida hambii , na nikitamani kumsaidia anasema tu ACHA
3. Hataki nipajue kwao
4. Ukituma mesj anajibu kav kav (bila rutba)
5. Na mengineyo mengi.
NAOMBA MBINU ZA KIJASIRI niweze kumuacha, maana kwake nimekufa nimeoza lakini ananitesa
Sent using Jamii Forums mobile app