Je, hii ni dalili ya kuwa na Presha?

Je, hii ni dalili ya kuwa na Presha?

Kula mboga za majani kwa wingi sana.. punguza chumvi na sukari ikibidi achana nazo iwe kutumia kwa dharura sana, badala ya chumvi tumia pilipili na sukari tumia asali.. kunywa maji mengi sana na epuka vyakula vya wanga na mafuta.. kama ni ugali mboga za majani ziwe nyingi sana ugali kidogo wali achana nao kabisa.. fanya hivi kwa miezi miwili alafu nenda kapime.
Izi mboga ziwe za kuchemsha tu au ata ukiweka nazi
 
aonane na Daktari,
Japo iko juu nakushauri rudia tena mara ya pili na rudia ukiwa calm bila uoga wala wasiwasi,
aangalie kama ana dalili zozote za hatri kama maumivu ya kichwa,mwili ,kizunguzungu ,macho kuona ukungu,maumivu ya kifua na mengine......
afanye mazoezi abadilishe life style
asisahau kurudia kipimo kama bado kitasoma juu amwone daktari kwa ajili ya dawa na ushauri
 
1) Pata usingizi wa kutosha
2) Fanya mazoezi mepesi kama kutembea angalau kwa nusu saa X3 kwa wiki
3) Pata huduma ya unyumba angalau X2 kwa wiki
4) Iburudishe akili yako kwa kusoma kitabu kizuri au angalia filamu ya kuvutia
5) Kula vizuri (Mboga na matunda zaidi

Katika yote haya ZINGATIA UBORA NA SI WINGI
 
aonane na Daktari,
Japo iko juu nakushauri rudia tena mara ya pili na rudia ukiwa calm bila uoga wala wasiwasi,
aangalie kama ana dalili zozote za hatri kama maumivu ya kichwa,mwili ,kizunguzungu ,macho kuona ukungu,maumivu ya kifua na mengine......
afanye mazoezi abadilishe life style
asisahau kurudia kipimo kama bado kitasoma juu amwone daktari kwa ajili ya dawa
samahani sasa mtu akiwa na dalili ya kizunguzungu kweli ataweza kufanya mazoezi?
 
Kula mboga za majani kwa wingi sana.. punguza chumvi na sukari ikibidi achana nazo iwe kutumia kwa dharura sana, badala ya chumvi tumia pilipili na sukari tumia asali.. kunywa maji mengi sana na epuka vyakula vya wanga na mafuta.. kama ni ugali mboga za majani ziwe nyingi sana ugali kidogo wali achana nao kabisa.. fanya hivi kwa miezi miwili alafu nenda kapime.
Umeniambia niachane na wanga nile sembe kdg kwani sembe sio wanga?nauliza nipate ujuzi kdg
 
Back
Top Bottom