Naomba majibu kwa wapenzi na wanaCCM

Naomba majibu kwa wapenzi na wanaCCM

nkisumuno

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2012
Posts
208
Reaction score
72
1.Kwa nini mnashabikia CCM licha ya shida zilizosababishwa na viongozi wa chama hicho kikongwe?
2. kwa nini huduma za afya na elimu ni mbovu kwa wananchi huku viongozi wa ngazi za juu wakitibiwa nje ya nchi?
3. Kwa nini CCM wanataka wao ndo wawe kwenye mabaraza ya katiba baadala ya wote?
4. Je mna maslahi gani kwenye ccm kama si unafiki tu maana tunaona wengine mkiwa na shida kama watanzania wengine?
5. Mnajisikiaje watoto wa kitanzania wanavyofeli na kukosa ajira? je mnaona fahali?
 
Unazungumzia mabaya tu halafu yale mazuri huyazungumzi ili tufanye mlinganyo. Huko kwenye nchi zilizoendelea kwenyewe kuna matatizo kwenye sectors mbalimbali (ajira, kazi, afya na kadhalika) ndiyo maana wakati wa uchaguzi kuna campaigns sasa ndiyo itakuwa Tanzania? Au ulitaka kila mtu awe boss?

Andika na mazuri yaliyofanywa na CCM halafu tufanye mlinganyo ndiyo upate jawabu la kwanini tunaipenda CCM.

Halafu ngoja nikwambie kitu, hapa duniani classes haziepukiki. Ulitaka kila mtu aishi kama Rais? Aishi kama waziri? Aishi kama Mbunge? Kwanini usianze kuhoji kwanini kila mwanachama wa CHADEMA asiishi kama Dr. Slaa? Wanachama wengi wa CHADEMA ukiwaona utawahurumia tena usiombe Mungu ukutane nao wakati wa jua kali huku wamevaa magwanda yao, hata mzoga wa Fungo unaafadhali kwa harufu wanayotoa.
 
Unazungumzia mabaya tu halafu yale mazuri huyazungumzi ili tufanye mlinganyo. Huko kwenye nchi zilizoendelea kwenyewe kuna matatizo kwenye sectors mbalimbali (ajira, kazi, afya na kadhalika) ndiyo maana wakati wa uchaguzi kuna campaigns sasa ndiyo itakuwa Tanzania? Au ulitaka kila mtu awe boss?

Andika na mazuri yaliyofanywa na CCM halafu tufanye mlinganyo ndiyo upate jawabu la kwanini tunaipenda CCM.

Halafu ngoja nikwambie kitu, hapa duniani classes haziepukiki. Ulitaka kila mtu aishi kama Rais? Aishi kama waziri? Aishi kama Mbunge? Kwanini usianze kuhoji kwanini kila mwanachama wa CHADEMA asiishi kama Dr. Slaa? Wanachama wengi wa CHADEMA ukiwaona utawahurumia tena usiombe Mungu ukutane nao wakati wa jua kali huku wamevaa magwanda yao, hata mzoga wa Fungo unaafadhali kwa harufu wanayotoa.

Msaidie kuyataja, na kama yangekuwapo asingeandika hivyo.
 
Unazungumzia mabaya tu halafu yale mazuri huyazungumzi ili tufanye mlinganyo. Huko kwenye nchi zilizoendelea kwenyewe kuna matatizo kwenye sectors mbalimbali (ajira, kazi, afya na kadhalika) ndiyo maana wakati wa uchaguzi kuna campaigns sasa ndiyo itakuwa Tanzania? Au ulitaka kila mtu awe boss?

Andika na mazuri yaliyofanywa na CCM halafu tufanye mlinganyo ndiyo upate jawabu la kwanini tunaipenda CCM.

we unavuta bangi mbichi; viongozi wote wa ccccm ni wachumia tumbo tu; miaka hamsini ya uhuru mnapiga propaganda tu; tuna rais vasco da gama; hatujui safari zake kama ndiyo ilani ya chamA

Halafu ngoja nikwambie kitu, hapa duniani classes haziepukiki. Ulitaka kila mtu aishi kama Rais? Aishi kama waziri? Aishi kama Mbunge? Kwanini usianze kuhoji kwanini kila mwanachama wa CHADEMA asiishi kama Dr. Slaa? Wanachama wengi wa CHADEMA ukiwaona utawahurumia tena usiombe Mungu ukutane nao wakati wa jua kali huku wamevaa magwanda yao, hata mzoga wa Fungo unaafadhali kwa harufu wanayotoa.

WE BANGI TU ; VIONGOZI WA CCM WACHUMIA TUMBO(mp JOHN SHIBUDA) USWIS HELA ZETU
 
Tanzania wont be safe if ccm will stl continue holding the state bt tuongeze nguvu hawa mbona ni wepesi sana tukomae bado kidogo saaaana
 
"Kuishabikia CCM lazima uwe na kichwa cha mwendawazimu"--Source JF
 
Unazungumzia mabaya tu halafu yale mazuri huyazungumzi ili tufanye mlinganyo. Huko kwenye nchi zilizoendelea kwenyewe kuna matatizo kwenye sectors mbalimbali (ajira, kazi, afya na kadhalika) ndiyo maana wakati wa uchaguzi kuna campaigns sasa ndiyo itakuwa Tanzania? Au ulitaka kila mtu awe boss?

Andika na mazuri yaliyofanywa na CCM halafu tufanye mlinganyo ndiyo upate jawabu la kwanini tunaipenda CCM.

Halafu ngoja nikwambie kitu, hapa duniani classes haziepukiki. Ulitaka kila mtu aishi kama Rais? Aishi kama waziri? Aishi kama Mbunge? Kwanini usianze kuhoji kwanini kila mwanachama wa CHADEMA asiishi kama Dr. Slaa? Wanachama wengi wa CHADEMA ukiwaona utawahurumia tena usiombe Mungu ukutane nao wakati wa jua kali huku wamevaa magwanda yao, hata mzoga wa Fungo unaafadhali kwa harufu wanayotoa.

kwa staili hii hatuwezi kuendelea, sijaona ulicho msaidia jamaa,
 
Back
Top Bottom