Habari za Ijumaa kuu ndugu zangu,
Nilipata ushawishi toka kwa jirani yangu baada ya kuona nipo na eneo kubwa nifanye kilimo kitanitoa hii ni baada ya kupoteza kazi ili niachane na kuombaomba,sasa nilinunua 10gm nikaotesha kwenye kitalu japo nilichelewa kuziamisha lakini zilienda vizuri shida ikaja zikakutana na jua la Dar es salaam mwezi wa pili lilivyochanganya watu wa Dar
Mtakumbuka sasa mvua imepiga zikafunikwa jani lakutosha kama umeme na udongo wa hapa nilipo mfinyanzi nimeshindwa kupalilia ndiyo nimepata wazo nang'olea kwa mkono robo eka tu ila zingine nimekuta kama zinaugonjwa , kama kuna mtaalam au anayejua nifan yaje kutibu na niwezepata mazao bora na mengi.
Asanteni
Nilipata ushawishi toka kwa jirani yangu baada ya kuona nipo na eneo kubwa nifanye kilimo kitanitoa hii ni baada ya kupoteza kazi ili niachane na kuombaomba,sasa nilinunua 10gm nikaotesha kwenye kitalu japo nilichelewa kuziamisha lakini zilienda vizuri shida ikaja zikakutana na jua la Dar es salaam mwezi wa pili lilivyochanganya watu wa Dar
Mtakumbuka sasa mvua imepiga zikafunikwa jani lakutosha kama umeme na udongo wa hapa nilipo mfinyanzi nimeshindwa kupalilia ndiyo nimepata wazo nang'olea kwa mkono robo eka tu ila zingine nimekuta kama zinaugonjwa , kama kuna mtaalam au anayejua nifan yaje kutibu na niwezepata mazao bora na mengi.
Asanteni