Elections 2010 Naomba kuwa Mshauri wa Karibu wa Slaa

Kishongo

JF-Expert Member
May 4, 2010
932
64
Mimi ni Mtanzania ninayeipenda nchi yangu.
Nimefurahishwa sana na jinsi Mhe Slaa alivyobadilisha mizania ya kisiasa Tanzania.

Hata hivyo siridhiki na baadhi ya mambo.

1. Ushauri uliotolewa wa kugeuza issue ya container lililokuwa vipodozi kule Tunduma kuwa ajenda ya kisiasa lilikuwa ni kosa kubwa.

2. Kuwadanganya wananchi kwa kutoa ahadi zisizotekelezeka kuhusu elimu na vifaa vya ujenzi - hii ndio imechangia kupunguza kura za mgombea.

Ombi: Naomba niongezwe katika jopo la washauri wake ili makosa yaliyojitokeza kwa kiongozi huyu kukurupuka na kuongea mambo bila ya kufanyia utafiti yaishe.

Nawasilisha.
 



yale masanduku ya Musoma nayo Vipi???!!.Usilete uongo wako hapa. Kuiba ni dhambi na kama ndo hivyo, utawala wa wezi ni mateso kwa watawaliwa!!! believe me.
 

Yatosha ukibaki kuwa mshauri wa Makamba na JK kwani kwa hiyo nafasi unamsaidia sana Dr. Slaa (PhD)
 

You are living proof that manure can grow legs and walk
 

nenda kawe mshauri wa mkeo.....maake kakuzidi kila kitu...mwehu wee!!
 

CRAP!

Nimeshindwa kuvumilia na wala siombi msamaha.
 

Nikikuita mjinga siyo tusi.Inamaanisha unahitaji uelimike zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…