Nikweli mwanzo nilimwambia kua mimi ni bikra na akaniwekea heshma had sasa hajaniomba sex ila tatizo katkat ya mahusiano yetu ndo nilipata huo mkasa.
Sio ulimcheat hapo kweli? Mhhh umemnyima jamaaa weee,jamaaa kasema isiwe tabu atavumilia mpaka ndoa wakati labda wewe ulikuwa unapata Raha kwa mbali,
Inawezekana jamaa aliomba mzigo ukamwambia:mpaka ndoa
jamaa:kwanini mpaka ndoa?
wewe:Sijawahi fanya hiyo kitu naogopa
Jamaa:Ok ntasubiria,kichwani kwa jamaa anawaza ina maana binti huyu bikra.
wewe:siku imekaribia ya kunioa na mimi sio bikra itakuwaje?
ngoja nikapate mawazo jf.
OK Good idea kumnyima huenda ungempa angekutosa,but umemnyima kwa mashart huku ukijifunga mwenyewe,kwa maana ingekubidi usipate penzi kwa yeyote mpaka yeye,kitu ambacho kigumu kwako,ok
Ngoja wadau waje....