mwanzo wa akina Tritel na wenzake ilikuwa ni kujijazia kutoka na kampuni
sasa wote wanadhibitiwa na TCRA na hivyo wanajipangia mfumo utakaofanana
na hata kuna kipindi waliambiwa mtu mwenye mtandao mmoja km ni tigo basi apige na kwingine kote bila masharti
mfano mzuri angalia kwenye Electronic money wote tunaenda na *150*00# ndio walioanza na wanafuata wengine