Naomba kuuliza kwa wajuaji

Naomba kuuliza kwa wajuaji

Hehe heee

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2017
Posts
210
Reaction score
186
Wakuuu kuna vitu vinanitatiza kila siku kuuliza watu siwezi wataniona mburura bora kuuliza uku jamvini ata nikionekana mburura najua anijui mtu

1) mimi sijawai kwenda guest sasa nauliza ukienda guest nakufanya mapenzi mkichafua shuka ya guest wanakubali au awakubali kwamba wanaweza waka kufurisha shuka

2) pili nauliza endapo umetumia condom na kuikojorea Jee unatakiwa kubadirisha kuvaa nyingine au iyoiyo moja unamaliza mchezo

Majibu please nisije nikaja kura aibu
 
Swali la Msibgi ni Hilo la Pili, Condom Ukiikojolea ni sharti uivue kabla uume haujalala lakini kuna scenario moja ambayo itakubidi uivue condom hata kama hujamwaga na ni Pale ambapo umeitumia zaidi 30 minutes maana inapunguza protection!

Lakini Mkuu Uondoe Hilo Neno Ujuaji Iko kama Kashfa
 
Wala usijione mburula mdogo angu,aulizae ataka kujua atii...ngoja majibu zaidi kwa kaka zako eeeh,.haya jioni njema.[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Huko guest house unaenda kukaa wiki nzima? Kama ni usiku mmoja tu ukiamka asubuhi mdogo mdogo [emoji124] [emoji124] unasepa zako hayo mauchafu yenu yatapambana na washing machine
 
Natamani ungesikia jinsi navyokucheka huku,

Swali la kitoto Halafu limefanana kweli na jina lako la bichwa bure
Tahadhari kucheka sana mbele ya watu siku utadharirika kwasabu una pump presha kwenye uwazi wako wanyuma tahadhari kabla ya atari
 
Tahadhari kucheka sana mbele ya watu siku utadharirika kwasabu una pump presha kwenye uwazi wako wanyuma tahadhari kabla ya atari
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wacha wee
 
Back
Top Bottom