Naomba kuuliza kuhusu kukosea kutuma hela kwa airtel money to tigo pesa

sibusiso dlomo

JF-Expert Member
Apr 23, 2016
690
384
hello wandugu naomba kaushauri kidogo kuna ndugu yangu kakosea kutuma hela(laki 2) akamtumia mtu mwingine maana namba zinafanana sana sana alikosea kwenye 0717 akaweka 0714.
sasa alivyokosea huyo aliyetumiwa nae kamtumia mwingine majina anayo na number anazo
hivi kuna jambo lolote linaweza fanyika maana kaenda tigo.....tigo wamempigia simu aliyetumia na ndugu yake wamesema watarudisha kesho..anataka kwenda kuripoti polisi
msaada wa mawazo please maana mdada kachanganyikiwa
 
Nilikosea kutuma pesa ikaenda kwa wambula lioba cha kusangaza yule mtu simu alizima. Shida ni kwamba Tigo walisema wameblock lakini leo ni week bado sijarudishiwa pesa yangu. Airtel waliniambia wamewasiliana nao. Nisaidieni bajameni....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom