EveningStar
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 262
- 162
Habari wakuu,
Nasikia mtu ukipata ajira serikalini huwa ni permanent mpaka unastaafu. Je, kuna vitu vyovyote vinaweza kupelekea mtu kuachishwa kazi au kupoteza kazi?
Nasikia mtu ukipata ajira serikalini huwa ni permanent mpaka unastaafu. Je, kuna vitu vyovyote vinaweza kupelekea mtu kuachishwa kazi au kupoteza kazi?