Habarini wana janvi
Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita na nimefaulu na "nimebahitaka" kukosa mkopo licha ya kuwa yatima na vyeti vya vifo niliiambatanisha
Baada ya chenga za heslb,naomba kama kuna mtu anaeza nishika mkono(kunisaidia)kujiunga na jwtz au uhamiaji anisaidie maana hali ni tete
Lakini pia hata kama unakazi yoyote ambayo inahitaji hicho kiwango cha elimu na nihalali unaeza nisogezea
Ntashukuru sana coz sina pa kwenda
NB:naomba mods huu Uzi msiunganishe.msiwe kama heslb jamani
Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita na nimefaulu na "nimebahitaka" kukosa mkopo licha ya kuwa yatima na vyeti vya vifo niliiambatanisha
Baada ya chenga za heslb,naomba kama kuna mtu anaeza nishika mkono(kunisaidia)kujiunga na jwtz au uhamiaji anisaidie maana hali ni tete
Lakini pia hata kama unakazi yoyote ambayo inahitaji hicho kiwango cha elimu na nihalali unaeza nisogezea
Ntashukuru sana coz sina pa kwenda
NB:naomba mods huu Uzi msiunganishe.msiwe kama heslb jamani