Naomba kujuzwa

Naomba kujuzwa

KINKOLA

Member
Joined
Mar 2, 2012
Posts
11
Reaction score
0
Mimi ni mdau mkubwa sana ktk mitandao ya kijamii, Hupenda kutafuta habari mbalimbali na kuwapatia vijana wenzangu ambao hawana access ya moja kwa moja na internet. Kuna kipengele cha ajira/ nafasi za kazi zinazo kuwa posted ktk mitandao mbalimbali, huwa natafuta vyanzo then nawajuza vijana wenzangu, Sasa kuna hizi kazi za mafisa tarafa ziko posted katika Job Vacancies Eastafrica-Jobs in Kenya,Uganda,Tanzania and Rwanda-Jobs in Eastafrica. Ukiangalia hizi kazi zimetolewa na JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA lakini nikifungua website ya sekretarieti sioni hizi post, je ni za kweli, naomba kujuzwa wadau

- Jobs in Kenya Uganda Tanzania and Rwanda, Job Vacancies in East africa 2013
 
mkuu mi nina wasiwasi na hizo kazi mana mwaka jana ndo kulikuwa na tangazo kama hilo hilo nafasi 145 hata mimi niliomba na zilitangazwa kwenye daily news na gazeti nilinunuaga zilikuwa hivo hivo japo sikumbuki ilikuwa gazeti la tarehe ngapi, japo hizo tarehe za deadline na mwaka kwenye hilo tangazo nimejaribu kucheki zinaonesha ni za mwaka huu,sasa cjui imekuwaje,please nakushauri fuatilia kwa ukaribu usije ukawamis lead watu wakatumia resource zao kuapply kumbe mauzauza,japo mi naona kama ni za mwaka jana mana zingekuwa za mwaka huu ungeziona kwenye web yao au web ya ajira au magazetini.
 
Wadau hatimaye Seketarieti ya ajira wamefunguka juu ya nafasi za kazi zilizotangazwa na www.eastafricajobscareer.com. tangazo hilo la kughushi na lenye nia ya kupotosha umma. Tunashukuru Sekretarieti kwa tamko hili maana vijana wetu walikuwa ktk mkanganyiko.
 
Back
Top Bottom