habari wana jamvi,mimi ni miongoni mwa walimu wapya ngazi ya shahada kutoka UDSM nimepangwa mkoa wa MARA wilaya ya BUNDA ,naomba kujua je shule za high level zipo hapo maana nimepangwa masomo ya advance na ninapenda sana kufundisha advance,naombeni msaada lau nizijue kwa majina.asanteni
Bakulutu, F 4 REAL, Musoma High School a.k.a Musoma Tech. iko wilaya ya MUSOMA (M), pamoja na Mara High School a.k.a Mara Sec. Wilaya ya BUNDA haina shule ya sekondari ya serikali ya A-level, labda kama imeanza kuwepo jana au leo.
habari wana jamvi,mimi ni miongoni mwa walimu wapya ngazi ya shahada kutoka UDSM nimepangwa mkoa wa MARA wilaya ya BUNDA ,naomba kujua je shule za high level zipo hapo maana nimepangwa masomo ya advance na ninapenda sana kufundisha advance,naombeni msaada lau nizijue kwa majina.asanteni
ni kweli masomo yote yako o level lakin masomo ka general studies,economics, ni ya A-level,mim nimesoma history na political science as teaching subjects hence obviously ps huwa inakua either civics kwa o -level or Gs kwa A-level hicho ndo nimemaanisha
Bakulutu, F 4
REAL, Musoma High School a.k.a Musoma Tech. iko wilaya ya
MUSOMA (M), pamoja na Mara High School a.k.a Mara Sec. Wilaya ya BUNDA
haina shule ya sekondari ya serikali ya A-level, labda kama imeanza
kuwepo jana au leo.
ni kweli masomo yote yako o level lakin masomo ka general studies,economics, ni ya A-level,mim nimesoma history na political science as teaching subjects hence obviously ps huwa inakua either civics kwa o -level or Gs kwa A-level hicho ndo nimemaanisha
Mbona wapo wengi tu ambao wamechukua ps na masomo mengine na wamepangiwa sehemu ambazo hakuna shule za A-level na wamebaki kufundisha civics na somo lingine vilevile wa economic wanafundisha commerce na bookiping.
habari wana jamvi,mimi ni miongoni mwa walimu wapya ngazi ya shahada kutoka UDSM nimepangwa mkoa wa MARA wilaya ya BUNDA ,naomba kujua je shule za high level zipo hapo maana nimepangwa masomo ya advance na ninapenda sana kufundisha advance,naombeni msaada lau nizijue kwa majina.asanteni