Naomba kujuzwa utofauti wa IDM na torrent

Kwaiyo INA maana MTU aliye appload file torrent akiwa offline nyie watu mia mlie pakua bado hamna msaada kwa wengne!?

Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app

literally speaking, hakuna ku 'upload' file,

(japo hapo juu limetoa mfano mdau apate mwanga seeding==uploading)

maana torrent haina central server, uta upload file utaliweka wapi ?
ukiona seeding... ujue wewe unakua server kwa mda huo, kuruhusu leecher kupakua parts za file kutoka kwako, ila sio lazima kuwe na leecher

cheki comment ya King Kong juu hapo, kuna mda unaona number of peers ulizokua connected zinapanda na kushuka kuonesha baadhi wana ingia online na wengine wanatoka
 
literally speaking, hakuna ku 'upload' file,

(japo hapo juu limetoa mfano mdau apate mwanga seeding==uploading)

maana torrent haina central server, uta upload file utaliweka wapi ?
ukiona seeding... ujue wewe unakua server kwa mda huo, kuruhusu leecher kupakua parts za file kutoka kwako, ila sio lazima kuwe na leecher

cheki comment ya King Kong juu hapo, kuna mda unaona number of peers ulizokua connected zinapanda na kushuka kuonesha baadhi wana ingia online na wengine wanatoka
Mkuu ninakupata vyema sana.Sasa mfano niko online na kuna mtu ameshapakua file kutoka kwangu kwa asilimia 50 halafu nikazima PC yangu ghafla,atashindwa kuendelea kupakua?
 
mkuu IDM hizi za free huwa zina expire baada ya 30 days vipi kuna mbinu yeyote ya kukwepa key
huwezifananisha IDM na Torrent, ni vitu viwili tofauti, japo zote zinahusika na upakuaji wa files

IDM inatumia protocol ya HTTP, wewe client unapakua file kutoka kwa server, sifa za iyo server itaathiri spidi ya upakuaji

Torrent inatumia P2P (mtu kwa mtu) protocol, unapakua file moja kwa moja kutoka kwa PC/HDD ya mtu mwingine, hakuna server,
idadi ya wenye ilo file likiwa complete ( seeders ) itaathiri spidi ya upakuaji

ukitaka ku compare ni vyema ukatumia softwares zinazo run kwa protocol moja mf: IDM, FDM, IDA au JDownloader

na upande wa pili: uTorrent, BitTorrent au Transmission-Qt
 
Seeding maana yake ni nini mkuu?
Mbeguring nadhani( purely joking). Nadhani inamaanisha kuwe sehemu ya kushare file husika, yaani na wewe unapanda mbegu za faili hilo mtandaoni ( a bit serious here). Sina utaalamu wa computer !
 
huwezifananisha IDM na Torrent, ni vitu viwili tofauti, japo zote zinahusika na upakuaji wa files

IDM inatumia protocol ya HTTP, wewe client unapakua file kutoka kwa server, sifa za iyo server itaathiri spidi ya upakuaji

Torrent inatumia P2P (mtu kwa mtu) protocol, unapakua file moja kwa moja kutoka kwa PC/HDD ya mtu mwingine, hakuna server,
idadi ya wenye ilo file likiwa complete ( seeders ) itaathiri spidi ya upakuaji

ukitaka ku compare ni vyema ukatumia softwares zinazo run kwa protocol moja mf: IDM, FDM, IDA au JDownloader

na upande wa pili: uTorrent, BitTorrent au Transmission-Qt

Ningekuwa karibu na wewe ungepata balimi tatu.yani jamaa unajuwa kueleza kirafiki sana kwa kutumia taaluma yako
 
Kikubwa sote humu tupo kueleweshana so MTU akitumia taaluma yake anakuwa na sisi ametusaidia kwa kias fulan

Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app

Asante.yani mfumo wa upakuaji wa chochote utegemea njia gani na mifumo gani ya upatikanaji.

IDM utumia mifumo iliyo tambuzi na miundo barabara kukuwezesha kukusanya bila kutumia tovuti au kifungua tovuti.itakata vipande na kuviunganisha wakati mmoja.

Torrent utumia tabia kama ya sokoni ujui nani hana miliki na ugawanywa vipande zaidi ya vipande na njia zake upitia bila kuwa na tambuzi hata ikiwa tambuzi labda ukitaka kuzima torrent zima internet.
 
Mimi nilikuwa mpenzi sana wa torrents na vingi nilijifunza humu humu mpaka kuusu maswala ya seeders niliyapata humu humu mwanzoni kabisa kwa network nilikuwa nadownload GB 14 tyu yhn kwa masaa sita nilikuwa napata 1 Mbps ila badae ilikuja kupanda mpka 5mbps.

Baadaye nikaja kuhama nilipokuwa naishi na hapo ndio shida ikaanza sehem niliyopo niliisi haina 4g maana natumia smart kitoch so kupata 4g mpk nicomand hivyo torrent niliishia kupata 1mbps kushuka chini na juzi likaamua kuachana na torents nikaamua kutumia idm hapa kuna utofaut kwa idm napata 3Mbps na kuendelea na Jana nimefanikiwa kudownload gb30 kwa masaa sita hii imenipa maswali kidg je pia torrent nao kuna mda uwa wqnasumbua sio

Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
Mkuu naomba unisaide utaalam wakuspeed up downloading katika torrent.
 
Mkuu ninakupata vyema sana.Sasa mfano niko online na kuna mtu ameshapakua file kutoka kwangu kwa asilimia 50 halafu nikazima PC yangu ghafla,atashindwa kuendelea kupakua?

ni kwamba, anapakua kwa watu tofauti (swarm==seeders walio online) kwa mda mmoja, mathalan file lina 4GB, anapakua kwako say 200MB,

200MB kwa mwingine, 200MB kwa mwingine, ivyo ivyo,

ndio maana kwenye ile 'progress bar' unakuta imegawika into stripes

ukienda offline, 'tracker' inatafuta peer mwengine mwenye ako kapisi cha file , anam direct kwa jamaa, jamaa anaendeleza kupakua

ikitokea WOTE wenye file(swarm) wakiwa offline, hakuna kupakua
 
Back
Top Bottom