Exformer
JF-Expert Member
- Nov 12, 2018
- 837
- 946
Waungwana, nina siku 7 za kujiandaa na usaili wa utumishi kada ya Afisa maendeleo ya jamii daraja ii.
Naombeni mnisadie baadhi ya maswali ya written ili nichanganye na yangu nisonge mbele..
Naiman wapo waliofanya usail kwa kada hii huko nyuma kwa taasisi binafs na serikali.
Naombeni waungwana
tusaidiane.
Naombeni mnisadie baadhi ya maswali ya written ili nichanganye na yangu nisonge mbele..
Naiman wapo waliofanya usail kwa kada hii huko nyuma kwa taasisi binafs na serikali.
Naombeni waungwana
tusaidiane.