baraka bb JF-Expert Member Mar 20, 2016 2,691 3,859 Jul 18, 2016 #21 Kinyamkela icho ukichungulia humo utakuta kuna hela na sindano
Toxic Concotion JF-Expert Member Aug 5, 2015 5,667 20,362 Jul 18, 2016 #22 ombi said: Hujawahikuona picha kama hiyo kwenye kitachu chochote cha shule ya msingi?! Click to expand... Kitachu ndo nini?
ombi said: Hujawahikuona picha kama hiyo kwenye kitachu chochote cha shule ya msingi?! Click to expand... Kitachu ndo nini?
Shoctopus JF-Expert Member Dec 29, 2015 3,434 1,985 Jul 18, 2016 #23 Huyo wa stendi said: Wakuu poleni na j.pili huwa nasafiri sana kwenda mikoani hiko kikazi sasa katika pitapita huavkuna baadhi ya sehemu hua nakuta vitu kama hivyo hivi wakuu hua ni vya nini!!![/QUOTE Hiyo ni warehouse 'silo' ya taifa ya 1947. Click to expand...
Huyo wa stendi said: Wakuu poleni na j.pili huwa nasafiri sana kwenda mikoani hiko kikazi sasa katika pitapita huavkuna baadhi ya sehemu hua nakuta vitu kama hivyo hivi wakuu hua ni vya nini!!![/QUOTE Hiyo ni warehouse 'silo' ya taifa ya 1947. Click to expand...
MNYAMAKAZI JF-Expert Member Oct 7, 2014 2,118 2,193 Jul 18, 2016 #24 multiphill90 said: Strai8 answer, kama hajaelewa arudi std 7 sasa Click to expand... Hakuna sayansi kimu siku hizi mkuu. Hizi shule za Saint nanihiu nani anafundisha kushika shika matope shambani?
multiphill90 said: Strai8 answer, kama hajaelewa arudi std 7 sasa Click to expand... Hakuna sayansi kimu siku hizi mkuu. Hizi shule za Saint nanihiu nani anafundisha kushika shika matope shambani?
kambagasa JF-Expert Member Aug 18, 2014 2,241 1,749 Jul 18, 2016 #25 Iluli hilo kwa kisukuma,baba yangu mdogo ashawahi kuoa binti na akamfikishia humo kama ghetto. Leo wana nyumba yao wana enjoy maisha.
Iluli hilo kwa kisukuma,baba yangu mdogo ashawahi kuoa binti na akamfikishia humo kama ghetto. Leo wana nyumba yao wana enjoy maisha.