Naomba kujua maana ya nembo hii

Naomba kujua maana ya nembo hii

Kalleya

Member
Joined
Oct 3, 2018
Posts
28
Reaction score
13
Naomba kujua nini maana ya nembo hii kwenye bidhaa mbalimbali?

tmp-cam--374468830.jpg
 
Hiyo ni alama ya mnyama ( kuna namna ya kijanja ukizijulisha hizo namba zote unapata 666) hiyo ni kwa jicho la kiroho lkn ktk ulimwengu wa kiroho hizo ni namba za kitu kilichothibitishwa na taasisi flani kwa makusudi au lengo elekezi!
 
Iyo sio nembo inaitwa bar code,ni id ya bidhaa inasomwa/inatambuliwa kwa mashine inaitwa barcode reader
 
Hiyo ni alama ya mnyama ( kuna namna ya kijanja ukizijulisha hizo namba zote unapata 666) hiyo ni kwa jicho la kiroho lkn ktk ulimwengu wa kiroho hizo ni namba za kitu kilichothibitishwa na taasisi flani kwa makusudi au lengo elekezi!
Nimechanganya kwenye kutoa maelezo "kwenye ulimwengu wa kibinadamu/sayasnsi" ni namba zinazotolewa na taasisi!
 
kama zile zilizopo kwenye vitabu ina mistari mingi mweusi na namba. picha inanigomea kupost
Hiyo ni barcode, inasaidia kutrack bidhaa kwenye store mfano supermarket kuna kifaa kinaitwa barcode scanner ambacho kinatoa infrared ambayo ikumulika kwenye hiyo mistari kwenye computer muuzaji anajua ni bidhaa gani na ni bei gani hana haja ya kujaza hizo infos, na hapo hapo kwenye stock inajipunguza kuwa bidhaa flani imeuzwa automatically, hiyo mistari ni sawa na hizo namba zilizoandikwa chini ila waliamua kutumia mistari kwakuwa kwakuweka namba ni rahisi namba kufutika na kushindwa someka lakini mstari ni vigumu kufutika wote maana hata ukifutika kidogo bado itasomeka
 
Hiyo ni alama ya mnyama ( kuna namna ya kijanja ukizijulisha hizo namba zote unapata 666) hiyo ni kwa jicho la kiroho lkn ktk ulimwengu wa kiroho hizo ni namba za kitu kilichothibitishwa na taasisi flani kwa makusudi au lengo elekezi!
ohoo! tutakwisha kama ni kweli mkuu.
 
Hiyo ni alama ya mnyama ( kuna namna ya kijanja ukizijulisha hizo namba zote unapata 666) hiyo ni kwa jicho la kiroho lkn ktk ulimwengu wa kiroho hizo ni namba za kitu kilichothibitishwa na taasisi flani kwa makusudi au lengo elekezi!
Acha kukaririshwa mambo wewe! Ufafanuzi umeshatolewa hapo, kuwa hiyo ni 'Bar Code'
Ajabu wewe unalazimisha iwe 666, Huo si ukilaza?
 
Hiyo ni alama ya mnyama ( kuna namna ya kijanja ukizijulisha hizo namba zote unapata 666) hiyo ni kwa jicho la kiroho lkn ktk ulimwengu wa kiroho hizo ni namba za kitu kilichothibitishwa na taasisi flani kwa makusudi au lengo elekezi!
Hivi ulishawahi kusoma na kujaribu kujua hizo barcode ni nini na ziko aina ngapi au unadaka mambo tu un unaongea mkuu? Hizo barcode ziko za aina zaidi ya tatu na kila moja ina utofauti na nyenzake lakini ambayo ni mashuhuri ni hiyo jamaa aliyopost ambayo ndiyo American standard.
Halafu kwa sasa kuna QR code itakuja replace barcode maana inabeba informations nyingi sana
 
Hiyo ni barcode, inasaidia kutrack bidhaa kwenye store mfano supermarket kuna kifaa kinaitwa barcode scana ambacho kinatoa infrared ambayo ikumulika kwenye hiyo mistari kwenye computer muuzaji anajua ni bidhaa gani na ni bei gani hana haja ya kujaza hizo infos, na hapo hapo kwenye stock inajipunguza kuwa bidhaa flani imeuzwa automatically, hiyo mistari ni sawa na hizo namba zilizoandikwa chini ila waliamua kutumia mistari kwakuwa kwakuweka namba ni rahisi namba kufutika na kushindwa someka lakini mstari ni vigumu kufutika wote maana hata ukifutika kidogo bado itasomeka
ahsante kwa ufafanuzi
 
Acha kukaririshwa mambo wewe! Ufafanuzi umeshatolewa hapo, kuwa hiyo ni 'Bar Code'
Ajabu wewe unalazimisha iwe 666, Huo si ukilaza?
Mrembo wangu,wanaume tunapokuwa tunazungumza mambo mazito unapaswa kuwa chumbani unacheza na mtoto,soma vzr kitabu cha ufunuo (hizo namba ukizijumlisha kwa namna ya kijanja unapata 666)
 
Back
Top Bottom