Naomba kujua bei ya Ruby pure gram 2..

Secret Star

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2011
Posts
1,857
Reaction score
2,089


Hallow, tena Habari kaka wazee na dada.

Leo nipo humu naombeni kujua makadirio ya Ruby gram 2 iliyo pure kabisa, kutoka hapa Tanzania ni kiasi gani kwa masoko yetu ya kwetu Tanzania?

Naamini nitapata majibu yalo na uhakika kwa sababu nawaamini ndugu zangu JF.....
 
Tupia picha ikiwa kwenye kiganja cha mkono wako, nitakupa taarifa zote
 
Tz sehemu gani?
 
Hiyo sio ruby ni spinol.spinol gram ni mil25 ruby hakuna tz
 
Sio ruby?hiyo ni spinol ya msumbiji ya tanzania kidogo imefifia rangi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…