ungeweka nachif tukusaidie kwa uakikaNaomba kujua Bei ya mabati migongo midogo kutoka kiwandani. Rangi ninayopendelea Ni carrot
nambaungeweka nachif tukusaidie kwa uakika
unapatkana wapi mkuu13,500 g 28 na 14,500 g zote kwa mita
Hizo bei zote ni kwa mita au?msaaada naombeni kwa anaefaham nauli ya dar to singda anmbie
13,500 g 28 na 14,500 g zote kwa mita
Nakushauri uwende mwenyewe kiwandani kwaoNaomba kujua Bei ya mabati migongo midogo kutoka kiwandani. Rangi ninayopendelea Ni carrot
na geji 30 migongo midogo futi 10 au 11 bei gani kwa bando13,500 g 28 na 14,500 g zote kwa mita
mkuu hyo sio bei Za kampuni ya ALAF13,500 g 28 na 14,500 g zote kwa mita
Tena amtafute muhusika mwenyewe mana sehem kama hizi utakutana na lundo la madalali limejazana kwenye mabench karibu na sehem ya biasharaNakushauri uwende mwenyewe kiwandani kwao
migongo midogo gauge 28,futi 10 au 11 zile bati za rangi ni shs ngapi kwa bando moja.?mkuubei kwa Gauge 28 migongo mipana ni 16400 kwa mita moja, gauge 30 ni 450000 kwa bandle lenye bati 16 zenye urefu wa futi kumi