Dr.adams faida
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,887
- 3,349
Hujambo?
Karibu kwenye mjadala mawazo yako ni muhimu sana kwangu na pia naimani na wengine yanaweza kuwasaidia.
Mwezi wa 11 mwaka huu nimeamua nichukue likizo yangu ya mwaka,lakini pia likizo yangu hii nataka niitumie vema kutembelea nchi ya botswana.
Kwanini nimeamua kuitembelea nchi hii
1.Moja ya nchi ya afrika ambayo nilitamani tangu nikiwa mtoto kuitembelea achilia mbali S.A.
2.Watu wengi husema ni nchi ambayo inafursa na nimekuwa nikiona wabongo wengi wakienda huko na wakirudi mambo yao huwa yamenyooka.
3.Watu wanasema ni moja ya nchi yenye passport yenye nguvu afrika so mbotswana anaweza kuingia nchi 73 bila visa.
Na hapo ndio napataka kwani kunakitu nimekipanga baada ya miaka miwili ijayo kukifanya.
Sasa basi napenda nifahamu mengi kabla ya safari yangu kwa maana huko niendako sina mwenyeji yaani mwenyeji wangu ni pesa nitakayokuwa nimeiandaa.
Natamani kujua kabla ya safari ni vitu gani nihakikishe niwetayari ninavyo au nitegemee kukabiliana navyo nitakapofika botswana?.
Je ili tour yangu iwe njema niandae kiasi gani for go and return?.
Nauli kutoka DSM to botswana, go and return inagharimu kiasi kwa ndege na shirika gani zuri la ndege nitumie?.
Vitu gani vya kuviepuka nitakapofika Botswana?
Jiji gani zuri la kufikia ambalo lina mishemishe pia ambalo nitaweza kujifunza vitu vizuri vya kunijenga kimaendeleo?
Hoteli zinagharimu kiasi gani zenye hadhi ya kati kwa kulala na kwa usalama na pia mitaa ipi ni salama zaidi?
Je pesa ya kule inathamani gani kwenye kubadilisha yaani mfano 10 pula ni sawa na shilingi ngapi ya tanzania?.
Pia nitegemee kukutana na nini kipya ambacho hakipo hapa kwetu tz nitakapofika botswana?.
Je ni jiji,au mitaa ipi watanzania wengi naweza kuwapata nikifika botswana ili japo nikawasabahi?.
Natumai nitapata majibu mengi yatakayonisaidia juu ya safari yangu.
Karibu kwenye mjadala mawazo yako ni muhimu sana kwangu na pia naimani na wengine yanaweza kuwasaidia.
Mwezi wa 11 mwaka huu nimeamua nichukue likizo yangu ya mwaka,lakini pia likizo yangu hii nataka niitumie vema kutembelea nchi ya botswana.
Kwanini nimeamua kuitembelea nchi hii
1.Moja ya nchi ya afrika ambayo nilitamani tangu nikiwa mtoto kuitembelea achilia mbali S.A.
2.Watu wengi husema ni nchi ambayo inafursa na nimekuwa nikiona wabongo wengi wakienda huko na wakirudi mambo yao huwa yamenyooka.
3.Watu wanasema ni moja ya nchi yenye passport yenye nguvu afrika so mbotswana anaweza kuingia nchi 73 bila visa.
Na hapo ndio napataka kwani kunakitu nimekipanga baada ya miaka miwili ijayo kukifanya.
Sasa basi napenda nifahamu mengi kabla ya safari yangu kwa maana huko niendako sina mwenyeji yaani mwenyeji wangu ni pesa nitakayokuwa nimeiandaa.
Natamani kujua kabla ya safari ni vitu gani nihakikishe niwetayari ninavyo au nitegemee kukabiliana navyo nitakapofika botswana?.
Je ili tour yangu iwe njema niandae kiasi gani for go and return?.
Nauli kutoka DSM to botswana, go and return inagharimu kiasi kwa ndege na shirika gani zuri la ndege nitumie?.
Vitu gani vya kuviepuka nitakapofika Botswana?
Jiji gani zuri la kufikia ambalo lina mishemishe pia ambalo nitaweza kujifunza vitu vizuri vya kunijenga kimaendeleo?
Hoteli zinagharimu kiasi gani zenye hadhi ya kati kwa kulala na kwa usalama na pia mitaa ipi ni salama zaidi?
Je pesa ya kule inathamani gani kwenye kubadilisha yaani mfano 10 pula ni sawa na shilingi ngapi ya tanzania?.
Pia nitegemee kukutana na nini kipya ambacho hakipo hapa kwetu tz nitakapofika botswana?.
Je ni jiji,au mitaa ipi watanzania wengi naweza kuwapata nikifika botswana ili japo nikawasabahi?.
Natumai nitapata majibu mengi yatakayonisaidia juu ya safari yangu.