Naomba kuijua Software inayotumika Kuflash simu

Naomba kuijua Software inayotumika Kuflash simu

Castle

Senior Member
Joined
Jul 25, 2008
Posts
116
Reaction score
20
Salama wakuu,
Nahitaji software ya kuflash simu yangu, imestuck kwenye fastboot mode.
 
Huihitaji flash kaka, kuna hatua moja ndogo sana ya kufanya ili sim yako ifunguke
 
ipi hiyo kaka
Najua una simu ya Itel, Tecno, au Vodafone
ITEL
TECNO, Vodafone
 
thanx kaka nimeshapata usaidizi
 
Habari ndugu naomba kwa anae fahamu namna ya ku flash simu aina ya Vodafone(Alcatel)onetouch hii simu niya batani msaada tafadhal
 
Nina Itel A11 nilinunua Voda shop lazima iwe na sim card moja ya vodacom,tatizo upande wa internet voda inasoma 3G au H^ tatizo line ya tigo inasoma G na E na imeandikwa hivyo ktk setting je nifanyaje ili na line ya tigo isome H^ au 3G?
Tafadhali
 
Hii ni SPD. Tumia njia ya Itel kuflashia simu yako
Nina Itel A11 nilinunua Voda shop lazima iwe na sim card moja ya vodacom,tatizo upande wa internet voda inasoma 3G au H^ tatizo line ya tigo inasoma G na E na imeandikwa hivyo ktk setting je nifanyaje ili na line ya tigo isome H^ au 3G?
Tafadhali
 
Nina Itel A11 nilinunua Voda shop lazima iwe na sim card moja ya vodacom,tatizo upande wa internet voda inasoma 3G au H^ tatizo line ya tigo inasoma G na E na imeandikwa hivyo ktk setting je nifanyaje ili na line ya tigo isome H^ au 3G?
Tafadhali
Nenda kwa fundi simu mwenye kifaa doogle mwambie aifanyie ROOTING.....UTAIPETA NA KUIFURAHIA
 
Asante mkuu, je nikiifanyia rooting kwa app za kudownload inawezekana
Kuna kifaaa kinaitwa doogle au adroid tools kinaunganishwa ktk simu na internet .....kufanya roooting.- huwezi kutumia app za kudownload ...ungekuwa mtaaalumunwa sofwear ningekueleza ungeweza kutumia softwear kama KINGROOT NA PC UKAROOT KWA KUWA SIO MTAAALAMU PELEKA SIMU KWA FUNDI SIMU

MAANA UKIJICHANGANYA SIMU HAITASHIKA MTANDAO TENA ITABAKI KUWA SKEPA

sent from toyota Allex
 
Back
Top Bottom