Naomba kufahamishwa madhara ya MRI.

Naomba kufahamishwa madhara ya MRI.

Mzeiya96

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2015
Posts
226
Reaction score
220
Habari wana JF.
Naomba kufahamu madhara ya muda mfupi na mrefu katika mwili wa binadamu baada ya kufanya kipimo cha MRI-Scan.
Natanguliza shukrani.
 
MRI inatumia strong magnetic fields na sio mionzi kama ilivyo X-Ray au CT-scan.hivo kuwa na madhara machache sana ambayo yanatokana na contrasts (dye) ambayo mgonjwa huchomwa kene mshipa na kuingia kene mzunguko wa damu ili kuongeza muonekano mzuri wa picha hasa tissue zenye shida(stain)
So unaweza pata headache,dizziness,neausea au rashes

-kwa watoto wengi huhitajika kupewa dawa za usingizi ili kuwapa utulivu wakati kipimo kinafanyika ,hivo dawa hizo zinaweza kuleta madhara zisipotelewa kwa umakini
 
MRI inatumia strong magnetic fields na sio mionzi kama ilivyo X-Ray au CT-scan.hivo kuwa na madhara machache sana ambayo yanatokana na contrasts (dye) ambayo mgonjwa huchomwa kene mshipa na kuingia kene mzunguko wa damu ili kuongeza muonekano mzuri wa picha hasa tissue zenye shida(stain)
So unaweza pata headache,dizziness,neausea au rashes

-kwa watoto wengi huhitajika kupewa dawa za usingizi ili kuwapa utulivu wakati kipimo kinafanyika ,hivo dawa hizo zinaweza kuleta madhara zisipotelewa kwa umakini
Mkumbushe pia kuwa MRI si salama kwa mtu mwenye metal implant (aliyewekewa chuma mwilini) kutokana magnetization kama ulivyoeleza mwanzo.

Pia **** maudhi madogo madogo kama wasiwasi na kelele...
 
MRI inatumia strong magnetic fields na sio mionzi kama ilivyo X-Ray au CT-scan.hivo kuwa na madhara machache sana ambayo yanatokana na contrasts (dye) ambayo mgonjwa huchomwa kene mshipa na kuingia kene mzunguko wa damu ili kuongeza muonekano mzuri wa picha hasa tissue zenye shida(stain)
So unaweza pata headache,dizziness,neausea au rashes

-kwa watoto wengi huhitajika kupewa dawa za usingizi ili kuwapa utulivu wakati kipimo kinafanyika ,hivo dawa hizo zinaweza kuleta madhara zisipotelewa kwa umakini
Asante.
 
Mkumbushe pia kuwa MRI si salama kwa mtu mwenye metal implant (aliyewekewa chuma mwilini) kutokana magnetization kama ulivyoeleza mwanzo.

Pia **** maudhi madogo madogo kama wasiwasi na kelele...
Asante
 
MRI inatumia strong magnetic fields na sio mionzi kama ilivyo X-Ray au CT-scan.hivo kuwa na madhara machache sana ambayo yanatokana na contrasts (dye) ambayo mgonjwa huchomwa kene mshipa na kuingia kene mzunguko wa damu ili kuongeza muonekano mzuri wa picha hasa tissue zenye shida(stain)
So unaweza pata headache,dizziness,neausea au rashes

-kwa watoto wengi huhitajika kupewa dawa za usingizi ili kuwapa utulivu wakati kipimo kinafanyika ,hivo dawa hizo zinaweza kuleta madhara zisipotelewa kwa umakini
UMEELEZEA VIZURI KIONGOZI
 
Habari wana JF.
Naomba kufahamu madhara ya muda mfupi na mrefu katika mwili wa binadamu baada ya kufanya kipimo cha MRI-Scan.
Natanguliza shukrani.
Madhara ni kama ulivosikia lakini kama unahitaji hicho kipimo huna budi. Cha umuhimu ni kujua baada ya hicho kipimo unatakiwa kufanya nini?
Kuna seli zinaharibika kwenye ubongo na maene mengi ya mwilini ambazo kama hutafuta ushauri wa kidakitari basi madhara yake yanaweza kutokea kama kansa vidonda uvimbe na maradhi mengine.

Wasiliana na dkt wa MRI hospital ya mikocheni atakushauri ni kiti gani cha kufanya au utumie kinywaji gani kuzirudisha seli zako baada ya kufanyiwa hicho kipimo.

Nipigie nikupe namba yake maana kuweka namba yake huku sio sawa
0714456020.
 
Habari wana JF.
Naomba kufahamu madhara ya muda mfupi na mrefu katika mwili wa binadamu baada ya kufanya kipimo cha MRI-Scan.
Natanguliza shukrani.


Kiukawaida, matumizi ya dwa yoyote au vipimo vinavyohusisha MRI na Xrays huwa vinakuwa na side effects kwenye mwili na kutokupima kuna madhara zaidi kwa mgonjwa kwani huwezi jua kwa uhakika shida ipo wapi

Ila tambua kuwa potential side effects zake zinazidi umuhimu kuliko kutokupima. Kwa kimatumbi tunasema the importance of the test, supersedes the potential side effects.

Tafadhali fanya kipimo ujue extactly nini kinasumbua na Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi upone.
 
Back
Top Bottom