Kuna Kampuni ya Kizungu kuna jamma angu alo Apply Kazi Ni kubwa tu Yani jamaa waliwambia watume CV tu bila matokeo ya aina yoyoye kuanzia ya Chuo mpaka sekondari wakisema mtumaji ila ahakikishe na tu ana diploma na O level , Zilipigwa mpaka interview bila muajiri kuwa na Matokeo ya hao anao wa interview walifanyiwa oral, Written na Practical kidogo ,Waliotoboa apo Waliitwa tu later kiverify certificates zao na wakaanza job ikiwemo uyo jamaa angu