Naomba kueleweshwa

Naomba kueleweshwa

kipingo

Member
Joined
Mar 12, 2013
Posts
16
Reaction score
3
Habari wana JF, ninaomba kupata ufafanuzi kuhusu swala hili. Matangozo ya ajira hasa ktk taasisi za serikali yanapotolewa huwa wanasisitiza kuwa, kama unaomba nafasi ya kazi na huku umeajiriwa ktk utumishi wa uma basi barua yako ya maombi ipitie kwa muajiri wako. Sasa naomba nifahamishwe faida za kuipitisha na hasara zake kama hutoipitisha barua kwa mwajiri wako.
 
Kupitisha ili wahakiki kama kweli umeajiliwa na kama usipohakiki jua ushakosa kazi. Cha msingi fuata vigezo na masharti. Na kwa nini uwende kinyume na masharti..??
 
Back
Top Bottom