Naomba kuelekezwa kuhusu bachelor of science in chemistry

kdom

JF-Expert Member
Jan 23, 2017
238
146
Mimi ni mwalimu mwenye level ya diploma katika masomo ya kemia na hesabu nataka nikajiendeleze degree kwa course (bachelor of science in chemistry) ambayo siyo ya ualimu, je inalipa na ni field gani naweza kufanya kazi kwa hiyo course? Kwa wataalamu ushauri tafadhali, matusi Hapana kabisa.
 
achana na hiyoo course aisee...nakushauri endelea na ualim i mean kasome degree ya ualimu ....
 
Unaweza ukasoma BSc (Chemistry) bila kuacha kuwa mwalimu, kwani diploma tayari imekupa mbinu za kuwa mwalimu (unless mwajiri wako kama haruhusu hiyo). Ukipata degree yako ndiyo unaweza tafuta mbinu ya kuacha ualimu ukiamua kuendelea kufundisha sidhani kama kuna shida.
Ukiwa na BSc (Chemistry) unakuwa mkemia na kuna kazi za viwanda, mazingira na nyingine ambazo huhitaji wakemia. Kama kuna shida ya kupata release fikiriaa pia Open University (nakimbuka kuna muuza mitumba enzi hizo alipata first class akaandikwa sana magezetini). Chamsingi usitupe kazi yako kabla ya kupata nyingine. Ubarikiwe.
 
Ukisoma BSc Chemistry unakua mkemia (chemist). Unaweza kufanya kazi viwandani, tfda, tbs, maabara ya mkemia mkuu wa Serikali, maabara ya ukaguzi wa madini na field nyingine ambazo kuna application ya chemistry.
Ni course nzuri, soma mkuu... Itakufungulia mlango mwingine wa mafanikio.
 
Mimi ni mwalimu mwenye level ya diploma katika masomo ya kemia na hesabu nataka nikajiendeleze degree kwa course (bachelor of science in chemistry) ambayo siyo ya ualimu, je inalipa na ni field gani naweza kufanya kazi kwa hiyo course? Kwa wataalamu ushauri tafadhali, matusi Hapana kabisa.
Unaweza kuwa uchwara
 
Unaweza ukasoma BSc (Chemistry) bila kuacha kuwa mwalimu, kwani diploma tayari imekupa mbinu za kuwa mwalimu (unless mwajiri wako kama haruhusu hiyo). Ukipata degree yako ndiyo unaweza tafuta mbinu ya kuacha ualimu ukiamua kuendelea kufundisha sidhani kama kuna shida.
Ukiwa na BSc (Chemistry) unakuwa mkemia na kuna kazi za viwanda, mazingira na nyingine ambazo huhitaji wakemia. Kama kuna shida ya kupata release fikiriaa pia Open University (nakimbuka kuna muuza mitumba enzi hizo alipata first class akaandikwa sana magezetini). Chamsingi usitupe kazi yako kabla ya kupata nyingine. Ubarikiwe.
Asante sana mkuu, barikiwa.
 
Ukisoma BSc Chemistry unakua mkemia (chemist). Unaweza kufanya kazi viwandani, tfda, tbs, maabara ya mkemia mkuu wa Serikali, maabara ya ukaguzi wa madini na field nyingine ambazo kuna application ya chemistry.
Ni course nzuri, soma mkuu... Itakufungulia mlango mwingine wa mafanikio.
Barikiwa sana mkuu!
 
Back
Top Bottom