Mbepo yamba
JF-Expert Member
- Aug 5, 2012
- 1,384
- 2,082
Life can humble you. Hili ndo limenitokea
Wakuu nimekuja kwenu kuomba kazi ya udereva bodaboda.
Mwenzenu ni kijana wa kitanzania ninaishi mkoa wa Dar es Salaam Kimara. Naomba mwenye bodaboda na hajapata dreva, niko tayari maana life limebana sana.
Nina familia ya mke wa ndoa kabisa hivyo ni mtu mwaminifu.
Naomba unipm kwa utakayeona naweza fanya nawe kazi kwa mawasiliano zaidi
Wakuu nimekuja kwenu kuomba kazi ya udereva bodaboda.
Mwenzenu ni kijana wa kitanzania ninaishi mkoa wa Dar es Salaam Kimara. Naomba mwenye bodaboda na hajapata dreva, niko tayari maana life limebana sana.
Nina familia ya mke wa ndoa kabisa hivyo ni mtu mwaminifu.
Naomba unipm kwa utakayeona naweza fanya nawe kazi kwa mawasiliano zaidi