Naomba kazi,elimu kidato cha 6

Naomba kazi,elimu kidato cha 6

Edo Mashili

Member
Joined
Apr 19, 2015
Posts
24
Reaction score
0
Nisaidien ndugu zangu kazi ambayo itanisaidia kuendesha maisha yangu kwani nimemaliza kidato cha sita kwa uweza wa Mungu pekee japo nategemea kuanza chuo ila hali yangu ni mbaya sana wazazi wangu waliniacha {walifariki}baada ya kumalza kidato cha 4 tu,nisaidien ndugu zangu napatikana Arusha na ningependa zaid kufanya kaz hapa Arusha......naombeni ndugu zangu mawasiliano yangu ni +255713855740 au +255758483433
 
Nisaidien ndugu zangu kazi ambayo itanisaidia kuendesha maisha yangu kwani nimemaliza kidato cha sita kwa uweza wa Mungu pekee japo nategemea kuanza chuo ila hali yangu ni mbaya sana wazazi wangu waliniacha {walifariki}baada ya kumalza kidato cha 4 tu,nisaidien ndugu zangu napatikana Arusha na ningependa zaid kufanya kaz hapa Arusha......naombeni ndugu zangu mawasiliano yangu ni +255713855740 au +255758483433

Pole sana kwa kupotezaga wazaz wako !! .mkuu mm nlimaliza kidato cha NNE mwaka 2012 , nikapata div IV ~ 26 , nilishindwa kuendelea na masomo sababu nyumbani hawakuwa vizuri kiuchumi;!,
Mwaka Jana mwezi wa 3 nilifanikiwa kujiajiri kupitia company ya Tigo , nikawa na sambaza Lain na bidhaa za Tigo [ frelansa]
Mkuu saiv Niko vizuri nishatuma maombi ya kwenda college!!
Nakushauri kama unaweza Tembelea ofisi za Tigo za mkoa wako hapo arusha! !! Nia na uvumilivu mwez mmoja nauhakika mwez unaofuata utaanza kuziweka mfukoni!!

Asante. Life is hard, pambana
 
mkuu kama upo freshi pia kuna kazi ya ulinzi mfno kk security,,,, pole sana kijana
 
Pole sana kwa kupotezaga wazaz wako !! .mkuu mm nlimaliza kidato cha NNE mwaka 2012 , nikapata div IV ~ 26 , nilishindwa kuendelea na masomo sababu nyumbani hawakuwa vizuri kiuchumi;!,
Mwaka Jana mwezi wa 3 nilifanikiwa kujiajiri kupitia company ya Tigo , nikawa na sambaza Lain na bidhaa za Tigo [ frelansa]
Mkuu saiv Niko vizuri nishatuma maombi ya kwenda college!!
Nakushauri kama unaweza Tembelea ofisi za Tigo za mkoa wako hapo arusha! !! Nia na uvumilivu mwez mmoja nauhakika mwez unaofuata utaanza kuziweka mfukoni!!

Asante. Life is hard, pambana

nashukuru sana mkuu ntalifanyia kazi
 
Pole sana dogo japo kazi za siku hizi ni ngumu sana lakini nakusihi sana Arusha ni mji mdogo sana, tengeneza cv kali sana halafu toa copy nyingi iwezekavyo kisha zunguka mji mzima kwenye makampuni mbalimbali uwe unaacha hizo cv na cover later, nina uhakika lazima utapata kazi kwenye kampunui mojawapo, cha msingi usiwe na aibu na uwoga pia uvumilivu ndiyo itakuwa silaha yako ya mafanikio. Ukitaka kupata cv za uhakika jaribu ku-google cv with no experience utaona nyingi sana, cha kufanya uwe una-edit na kupata moja kali sana.
 
Pole sana dogo japo kazi za siku hizi ni ngumu sana lakini nakusihi sana Arusha ni mji mdogo sana, tengeneza cv kali sana halafu toa copy nyingi iwezekavyo kisha zunguka mji mzima kwenye makampuni mbalimbali uwe unaacha hizo cv na cover later, nina uhakika lazima utapata kazi kwenye kampunui mojawapo, cha msingi usiwe na aibu na uwoga pia uvumilivu ndiyo itakuwa silaha yako ya mafanikio. Ukitaka kupata cv za uhakika jaribu ku-google cv with no experience utaona nyingi sana, cha kufanya uwe una-edit na kupata moja kali sana.

sawa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom