Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,658
Poleni kwa Uchovu na purukushani ya madawa ya kulevya najua wengi mawazo yenu mumeamishia uko
Mimi ni kijana wa Tanzania mwenye mapenzi mema na Taifa pendwa la Tanzania
Watu wengi wanalalamikia shirika letu la Habari TBC ivyo Leo Mimi nataka kurudisha heshima ya Shirika letu ili watu wote wapendi kuangalia TBC
Uchunguzi wangu mdogo nilio ufanya nimegundua yafuatayo
1:TBC hakuna ubunifu wa vipindi ivyo inakosa mvuto katika jamii na kushindwa kujiongoza ki biashara
Ivyo Mimi naomba nipewe nafasi kama Creative Designer katika Department ya Pre production au ya Utengenezaji wa Vipindi Nina Imani mukinipa nafasi iyo nitaweza kuboreshea Vipindi na kuanzisha Vipindi Vipya ambavyo vitafanya TBC iwe mshindani mkubwa kibiashara
Malipo
NIPO TAYARI KUFANYA KAZI BURE MUNIPE NAULI TU ILA LENGO LANGU NIIFANYE TBC KUWA MSHINDANI MKUBWA KATIKA MAMBO YA MEDIA NA IWEZE KUJIENDESHA KI BIASHARA
NINA UHAKIKA BAADA YA MUDA FULANI
Mimi ni kijana wa Tanzania mwenye mapenzi mema na Taifa pendwa la Tanzania
Watu wengi wanalalamikia shirika letu la Habari TBC ivyo Leo Mimi nataka kurudisha heshima ya Shirika letu ili watu wote wapendi kuangalia TBC
Uchunguzi wangu mdogo nilio ufanya nimegundua yafuatayo
1:TBC hakuna ubunifu wa vipindi ivyo inakosa mvuto katika jamii na kushindwa kujiongoza ki biashara
Ivyo Mimi naomba nipewe nafasi kama Creative Designer katika Department ya Pre production au ya Utengenezaji wa Vipindi Nina Imani mukinipa nafasi iyo nitaweza kuboreshea Vipindi na kuanzisha Vipindi Vipya ambavyo vitafanya TBC iwe mshindani mkubwa kibiashara
Malipo
NIPO TAYARI KUFANYA KAZI BURE MUNIPE NAULI TU ILA LENGO LANGU NIIFANYE TBC KUWA MSHINDANI MKUBWA KATIKA MAMBO YA MEDIA NA IWEZE KUJIENDESHA KI BIASHARA
NINA UHAKIKA BAADA YA MUDA FULANI