Naomba jibu sahihi

zegamba180

JF-Expert Member
Oct 8, 2014
820
541
Unapohitaji kumuita ama kumtambulisha anayeshona nguo. Unasemaje mwenzangu, ni fundi nguo? ama fundi cherehani?
 
mkuu ipeleke mada jukwaa husika kwanza, nakuhakikishia utapata majibu mpaka ufurahi! hii ndo JF wanakoishi wataalam wa kila kitu, usiogope!
 
Back
Top Bottom